En voorwaar, Wij hebben in alle geopenbaarde Heilige Boeken genoteerd, nadat (Wij reeds in) het Boek dat in de hemel bij Allah is, genoteerd hebben, dat Mijn rechtvaardige dienaren het land zullen beërven.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na kwa hakika, tuliandika kwenye vitabu vilivyoteremshwa, baada ya kuwa yashaandikwa katika Ubao Uliohifadhiwa, kwamba ardhi watairithi waja wa Mwenyezi Mungu walio wema, wale wanaosimama imara kwa yale waliyoamrishwa na wakajiepusha na yale waliyokatazwa, nao ni ummah wa Muhammad, rehema na amani ya Mwenyezi Mungu zishukiye.