Hij zei: “Mijn Heer! Beoordeelt U in Waarheid! Onze Heer, de Barmhartige, is Degene wiens hulp gezocht wordt tegen datgene wat jullie aan Hem toekennen!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Nabii, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukiye, akasema,» Mola wangu! Amua baina yetu na watu wetu walioukanusha Uamuzi wa haki, na tunamuomba Mola wetu Mwingi wa rehema, tunataka msaada Wake tuzibatilishe sifa mnazombandika, enyi makafiri, za ushirikina na ukanushaji na uzushi na juu ya maonyo mnayotuonya kuwa mtakuwa na nguvu na ushindi.