En hun harten zijn achteloos. En degenen die zonden begaan verbergen hun (hun onrecht) in heimelijk overleg (zeggende): “Deze (Boodschapper) is niet anders dan een mens zoals jullie.” Zullen jullie je aan toverij onderwerpen terwijl jullie het doorzien?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Nyoyo zao zimeghafilika na Qur’ani, zimeshughulika na ubatilifu wa dunia na matamanio yake, hawayafahamu yaliyomo ndani yake. Lakini madhalimu miongoni mwa Makureshi wamejikusanya pamoja juu ya jambo lililofichika, nalo ni kueneza yale ambayo kwayo wanawazuia watu kumuamini Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, kwa kuwa yeye ni binadamu mfano wao, hatafautiani na wao katika kitu chochote, na kwamba Qur’ani aliyoileta ni uchawi. (Wanawaambia kwa kusema) «Vipi mutakuja kwake na mumfuate na hali kwamba mnaona kwamba yeye ni binadamu kama nyinyi?»