Zij geloofden niet, degenen vόόr hen uit de steden die Wij vernietigden: zullen zij dan geloven?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hakuna mji wowote ulioamini kabala ya makafiri wa Makkah ambao watu wake walitaka miujiza kutoka kwa Mtume wao na ikatokea kweli, bali walikanusha na tukawaangamiza. Basi je, makafiri wa Makkah wataamini iwapo itakuwa miujiza waliyoitaka? Sivyo, wao hawataamini.