En (gedenk) Dawoed en Soeleiman, toen zij uitspraak deden over het geval van het veld waarin schapen van bepaalde mensen ’s nachts graasden en Wij waren getuige van hun uitspraak.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na kumbuka Nabii wa Mwenyezi Mungu Dāwūd na mwane Sulaiman, ewe Mtume, walipotoa uamuzi juu ya kesi iliyoletwa na wagonvi wawili, kondoo wa mmoja wao waliharibu mimea ya mwingine, walienea kwenye mimea hiyo kipindi cha usiku wakaiharibu. Dāwūd alitoa uamuzi kwamba wale kondoo wawe ni milki ya mwenye mimea wakiwa ni badala ya mimea yake iliyoharibiwa, kwa kuwa thamani ya viwili hivyo ni sawa. Na sisi tuliushuhudia uamuzi wao, haukufichamana kwetu.