Aanmelden
Aanmelden
Aanmelden
Taal selecteren

Tafseer: Ad-Dukhan 44:4

44:4
فيها يفرق كل امر حكيم ٤
فِيهَا يُفْرَقُ كُلُّ أَمْرٍ حَكِيمٍ ٤
فِيهَا
يُفۡرَقُ
كُلُّ
أَمۡرٍ
حَكِيمٍ
٤
Daarin worden alle wijze zaken uiteengezet.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Katika usiku huo linaamuliwa na kupambanuliwa, kutoka kwenye Ubao Uliohifadhiwa na kuletewa waandishi kati ya Malaika, kila jambo lililokadiriwa la muda wa kuishi na riziki katika mwaka huo na mambo mengine yatakayokuwa na kukadiriwa na Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, mpaka mwisho wa mwaka, hayabadilishwi wala hayageuzwi.