Behalve degene waarvoor Allah genade heeft. Waarlijk, Hij is de Almachtige, de Genadevolle.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
isipokuwa yule ambaye Mwenyezi Mungu Amemrehemu miongoni mwa Waumini, kwani yeye huenda akamuombea kwa Mola wake baada ya kuruhusiwa na Mwenyezi Mungu. Kwa hakika Mwenyezi Mungu Ndiye Mshindi katika kuwatesa maadui zake, Ndiye Mwenye kuwarehemu kwa wingi wale wenye kumtegemea na kumtii.