En aanbid jouw Heer totdat het zekere (de dood) tot jullie komt.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na uendelee kumuabudu Mola wako muda wa uhai wako mpaka ikujie yakini isiyokuwa na shaka nayo ni kifu. Na Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, alitekeleza amri ya Mola Wake, kwani hakuacha kuendelea kumuabudu Mwenyezi Mungu mpaka ikamjia yakini ya kifo kutoka kwa Mola Wake.