Ibrahim zei: “Maar daar is Loeth.” Zij zeiden: “Wij weten beter wie daar is, en waarlijk, wij zullen hem en zijn familie redden, behalve zijn vrouw, zij zal tot degenen die achterblijvers behoren.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Akasema Ibrāhīm kuwaambia Malaika, «Huko kuna Lūṭ, na yeye si miongoni mwa madhalimu.» Malaika wakasema, «Sisi tunamjua zaidi aliye huko. Tutamuokoa, yeye na watu wa nyumbani kwake, na maangamivu yatakayowashukia watu wa kijiji chake, isipokuwa mke wake atakayesalia kwenye maangamivu.