Degenen die geduldig zijn en hun vertrouwen (alleen) bij hun Heer leggen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Mabustani hayo yaliyotajwa ni ya Waumini waliovumilia katika kumuabudu Mwenyezi Mungu, wakashikamana na dini yao na wakawa wanamtegemea Mwenyezi Mungu katika riziki zao na kupigana jihadi na maadui wao.