Als jij hen zou vragen: “Wie heeft de hemelen en de aarde geschapen en de zon en de maan geschapen,” dan zullen zij zeker antwoorden: “Allah.” Hoe kunnen zij dan afwijken?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na ukiwauliza, ewe Mtume, hao washirikina,»Ni nani aliyeumba mbingu na ardhi kwa mpango huu mzuri na akalidhalilisha jua na mwezi?» Watasema, «Aliyeviumba hivyo ni Mwenyezi Mungu Peke Yake.» Basi vipi wao watapotoshwa waache kumuamini Mwenyezi Mungu, Muumba na Muendeshaji wa kila kitu, na wakawa wanamuabudu asiyekuwa Yeye? Basi uonee ajabu uzushi wao na urongo wao!