Terwijl zij hem daarvόόr waarlijk verwierpen. En zij gissen naar het onwaarneembare vanaf een verre plaats.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kwa hakika waliikanusha haki duniani na wakawakanusha Mitume. Na wanajisemea kwa kudhani wakiwa mbali na kuifikia haki, hawana tegemezi la dhana yao ya ubatilifu, kwa hivyo hawana njia ya kuifikia haki kama vile mfumaji asivyo na njia ya kulenga shabaha kutoka mahali mbali.