Wendde zijn oog niet af noch ging het de grens te buiten.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, alikuwa na sifa kubwa ya uthabiti na utiifu, hayakupotoka macho yake kuliani wala kushotoni, wala hakupitisha zaidi ya kile alichoamrishwa kukiona.