En er zijn vele Engelen in de hemel wier bemiddeling niets baat, behalve nadat Allah toestemming geeft voor wie Hij wil en voor wie Hem behaagt.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na kuna Malaika wengi huko mbinguni, pamoja na vyeo vyao vya juu, kuombea kwao hakunufaishi chochote isipokuwa baada ya Mwenyezi Mungu kuwapa idhini wao waombee na Aridhike na yule mwenye kuombewa.