Is het niet duidelijk voor degenen die de aarde beërven in opvolging van zijn bezitters, dat, als Wij zouden willen, Wij hen zouden treffen vanwege hun zonden en Wij hun harten zouden vergrendelen, zodat zij niet zouden kunnen luisteren?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kwani haikuwafunukia wale waliokaa kwenye nchi baada ya watu wake waliopita kuangamizwa kwa maasia yao, na wakafuata miendo yao, kwamba lau tunataka tungaliwaadhibu kwa makosa yao, kama tulivyowafanyia waliopita kabla yao, na kwamba tutazipiga chapa nyoyo zao, haki isiingie na wasisikie mawaidha wala makumbusho?