Het is mij verplicht dat ik niets anders over Allah zeg dan de Waarheid. Voorwaar ik ben tot u gekomen met een duidelijk Bewijs van mijn Heer. Laat de Kinderen van Israël dus met mij vertrekken.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
«Nastahili nisiseme kuhusu Mwenyezi Mungu isipokuwa ukweli na inapasa kwangu nijilazimishe nayo. Nimewajia na dalili na hoja zenye ushindi kutoka kwa Mola wenu juu ya ukweli wa yale ninayowatajia. Basi waachilie, ewe Fir'awn, Wana wa Isrāīl pamoja na mimi kutoka kwenye kifungo chako na ukandamizaji wako, na wape uhuru wa kumuabudu Mwenyezi Mungu.»