En elk volk heeft zijn aangewezen tijd: als die tijd is aangebroken, dan kunnen zij het geen moment uitstellen noch vervroegen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kila kikundi kilichojikusanya kumkanusha Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, na kuwakanusha Mitume Wake, amani iwashukie, kina wakati wa kushukiwa na mateso. Huo wakati, Aliouweka Mwenyezi Mungu wa kuwaangamiza, hawatakawia nao, japokuwa kwa muda mfupi, wala hawataungulia.