(Zij die op de muren zitten zeggen:) “Zijn dit (de gelovigen) degenen waarvan jullie zwoeren dat Allah hen nooit genade zou tonen? (Let op! Er is tegen hen gezegd): “Ga het Paradijs binnen, geen angst zal jullie treffen noch zullen jullie bedroefd zijn.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Je madhaifu na mafukara hawa, kati ya watu wa Peponi, ndio wale mlioapa huko duniani kwamba Mwenyezi Mungu Hatawakusanya Siku ya Kiyama Awatie kwenye rehema na Hatawaingiza Peponi? Ingieni Peponi, enyi watu wa Al- A'rāf, hakika mumesamehewa; hamna tene kicho cha kupata adhabu ya Mwenyezi Mungu, wala hamtahuzunika juu ya hadhi za duniani zilizowapita.