Ik verkondig jullie de Boodschappen van Mijn Heer en ik ben een betrouwbare raadgever voor jullie.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
«Ninawafikishia nyinyi yale ambayo Amenituma nayo Mola wangu kwenu. Na mimi kwenu, katika yale niliyowaita kwayo ya kumpwekesha Mwenyezi Mungu na kuitumia sheria Yake, ni mshauri mwenye imani, ni muaminifu juu ya wahyi wa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka.