En het antwoord van zijn volk was slechts dat zij zeiden: “Verjaag hen (Loeth en zijn volgelingen) uit jullie stad, dit zijn zeker mannen die rein willen zijn!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hayakuwa majibu ya watu wa Lūṭ, alipowapinga kwa kitendo chao kilichofikia upeo wa ubaya, isipokuwa ni kuambiana wao kwa wao, «Mtoeni Lūṭ na wafuasi wake nchini mwenu, kwa kuwa yeye na wanaomfuata ni watu wanaojiepusha na kuwajia wanaume kwenye sehemu zao za nyuma.»