En wees niet zoals degenen die Allah vergaten,waarop Hij hen zichzelf deed vergeten. Dat zijn de overtreders.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na msiwe, enyi Waumini, kama wale walioacha kutekeleza haki ya Mwenyezi Mungu Aliyoipasisha juu yao, na kwa sababu hiyo Akawasahaulisha wao kujifanyia wema nafsi zao kwa kufanya matendo mema yenye kuwaokoa wao na adhabu ya Siku ya Kiyama. Hao ndio wenye kusifika kwa uasi, wenye kutoka nje ya utiifu kwa Mwenyezi Mungu na utiifu kwa Mtume Wake.