Zeker, Wij hebben aan jou het boek (deze Koran) in waarheid gestuurd, zodat jij tussen de mensen kunt oordelen door wat Allah jou heeft laten zien, wees dus geen pleitbezorger voor de verraders.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Sisi tumekuteremshia Qur’ani, ewe Muhammad, iliyokusanya haki, ili utoe uamuzi baina ya watu wote kwa wahyi ambao Mwenyezi Mungu Amekuletea na Akakufahamisha. Basi usiwe ni mwenye kuwatetea wale wanaozifanyia hiana nafsi zao, kwa kuificha haki, kwa kuwa wamekudhihirishia maneno yaliyo kinyume na ukweli.