En iedereen die kwaad doet of zichzelf onrecht aandoet en daarna Allah’s vergiffenis zoekt: hij zal vinden dat Allah Vergevingsgezind, Genadevol is.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na mwenye kufanya tendo baya au akajidhulumu nafsi yake kwa kufanya mambo yaliyo kinyume na hukumu ya Mwenyezi Mungu na sheria Yake, kisha akarudi kwa Mwenyezi Mungu kwa kujuta kwa aliyoyafanya akitaraji Amsamehe na dhambi zake Amsitirie, basi atamkuta Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa msamaha na ni mwingi wa huruma kwake.