Degenen die ongelovigen tot bondgenoten nemen in plaats van gelovigen, zoeken zij eer bij hen? Waarlijk, alle eer is bij Allah (alleen).
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Ambao wanawategemea makafiri na kuwafanya ni wasaidizi wao, na wanaacha kuwapenda Waumini na kuwategemea, wala hawana haja ya mapenzi yao. Kwani wanatafuta, kwa hilo kuokolewa na kupata hifadhi kwa makafiri? Hili wao hawalimiliki. Kwani uokozi, enzi na nguvu, vyote ni vya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Peke Yake.