Degenen die geloven, vechten op de weg van Allah en degenen die niet geloven, vechten op de weg van de taaghoet. Bestrijd dan de handlangers van sjaitaan! Want waarlijk, de samenzweringen van sjaitaan (tegen de gelovigen) zijn altijd zwak.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wale walio wakweli katika Imani zao, kiitikadi na kivitendo, wanapigana jihadi katika njia ya kuitetea haki na watu wake, na wale waliokufuru wanapigana katika njia ya uonevu na uharibifu katika ardhi. Basi wapigeni vita watu wa ukafiri na ushirikina wanaomfuata Shetani na kutii amri yake. Hakika mipango ya Shetani anayowapangia wafuasi wake ni dhaifu.