Aanmelden
Aanmelden
Aanmelden
Taal selecteren

Tafseer: Al-Haqqah 69:9

69:9
وجاء فرعون ومن قبله والموتفكات بالخاطية ٩
وَجَآءَ فِرْعَوْنُ وَمَن قَبْلَهُۥ وَٱلْمُؤْتَفِكَـٰتُ بِٱلْخَاطِئَةِ ٩
وَجَآءَ
فِرۡعَوۡنُ
وَمَن
قَبۡلَهُۥ
وَٱلۡمُؤۡتَفِكَٰتُ
بِٱلۡخَاطِئَةِ
٩
En Farao en degenen vóór hem, en de (bewoners van) omvergeworpen steden begingen zonden.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na akaja mpita kiasi katika uasi Fir’awn na ummah waliomtangulia waliokanusha Mitume wao, na watu wakazi wa vijiji vya watu wa Lūṭ ambao majumba yao yaliwapindukia kwa sababu ya kitendo kibaya walichokifanya, cha ukafiri, ushirikina na mambo machafu.