Nee! Hij (Mohammed) is met de Waarheid gekomen en hij bevestigt de Boodschappers.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wamesema urongo! Muhammad sivyo vile walivyomueleza. Bali amekuja na Qur’ani na upwekeshaji Mwenyezi Mungu, na akathibitisha ukweli wa Mitume katika kile walichokitolea habari kuhusu sheria ya Mwenyezi Mungu na kumpwekesha Yeye.