De valsheid raakt hem (de Koran) niet, niet van voren en niet van achteren. Het is door de Alwijze, de Gerprezene neergezonden.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Ubatilifu haukifikii kutoka upande wowote katika pande Zake, na hakuna kitu chenye kukibatilisha, kwani hiko kimetunzwa kisipunguzwe wala kisizidishwe. Ni teremsho kutoka kwa Mwingi wa hekima katika kuendesha mambo ya waja Wake, Mwenye kushukuriwa kwa sifa za ukamilifu Alizonazo.