Maar als zij berouw tonen, de gebeden perfect verrichten en zakaat geven, dan zijn zij jullie broeders in het geloof. (Op deze manier) hebben Wij de Tekenen nauwkeurig uitgelegd aan een volk dat weet.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na iwapo watakomeka na ibada ya asiyekuwa Mwenyezi mungu, wakalitamka neno la kumpwekesha, wakajilazimisha na sheria za Kiislamu za kusimamisha Swala na kutoa Zaka, basi hao ni ndugu zenu katika Uislamu. Na tunazieleza waziwazi aya na kuzifafanua kwa watu wenye kufaidika nazo.