Waarlijk, voorheen probeerden zij reeds tweedracht te zaaien en zij verzonnen listen tegen jou, tot de Waarheid kwam en de Verkondiging van Allah duidelijk werd, hoewel zij het haatten.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Walipendelea wanafiki kuwafitini Waumini na Dini yao na kuwazuia wasiiifuate njia ya Mwenyezi Mungu kabla ya vita vya Tabūk, na mambo yao yakafunuka wakajulikana. Na walikuchafulia mambo, ewe Nabii, katika kuyavunja uliyokuja nayo, kama walivyofanya siku ya vita vya Uḥud na siku ya vita vya Khandaq. Na walikufanyia vitimbi mpaka usaidizi ukaja kutoka kwa Mwenyezi Mungu, Akawatia nguvu askari Wake na Akaipa ushindi dini Yake, pamoja na kuwa wao wanaichukia.