Zij zweren bij Allah om jullie een genoegen te doen, maar het is passender als zij Allah en Zijn Boodschapper een genoegen zouden doen, als zij gelovigen waren.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wanafiki wanaapa viapo vya urongo na wanatoa nyudhuru za kupanga ili kuwafanya Waumini waridhike na wao. Na Mwenyezi Mungu na Mtume Wake wanastahiki zaidi na inafaa zaidi wawaridhie kwa kuwaamini na kuwatii, iwapo kweli wao ni Waumini.