Aanmelden
Aanmelden
Aanmelden
Taal selecteren

Tafseer: An-Nur 24:20

24:20
ولولا فضل الله عليكم ورحمته وان الله رءوف رحيم ٢٠
وَلَوْلَا فَضْلُ ٱللَّهِ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَتُهُۥ وَأَنَّ ٱللَّهَ رَءُوفٌۭ رَّحِيمٌۭ ٢٠
وَلَوۡلَا
فَضۡلُ
ٱللَّهِ
عَلَيۡكُمۡ
وَرَحۡمَتُهُۥ
وَأَنَّ
ٱللَّهَ
رَءُوفٞ
رَّحِيمٞ
٢٠
En als het niet vanwege de Gunst en Zijn genade voor jullie was geweest (dan zou Allah zich gehaast hebben jullie te bestraffen). En Allah is vol Vriendelijkheid, Genadig.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na lau kama si wema wa Mwenyezi Mungu juu ya wale waliohusika kwenye tukio la uzushi na rehema zake kwao na kwamba Mwenyezi Mungu Anawahurumia waja Wake Waumini huruma kunjufu katika yale wanaokuwa na pupu nayo (ya ulimwengu) na yale wanayoyasubiri (ya Akhera), hangalizifunua wazi hukumu hizi na mawaidha na Angalifanya haraka kumuadhibu yule aendaye kinyume na amri Yake.