(Zo’n licht brandt) in huizen waarvoor Allah gebood (Hem) erin te eren en Zijn naam te noemen, zij prijzen Zijn Glorie daarin in de ochtenden en de avonden.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Nuru hii inayong’ara kwenye misikiti ambayo Mwenyezi Mungu Ameamrisha itukuzwe, ijengwe na jina Lake litajwe humo kwa kusoma Kitabu Chake na kuleta tasbihi (subhān Allāh) na kuleta tahlili (Allāh Akbar) na yasiyokuwa hayo katika aina mbalimbali za kumtaja. Wanaswali kwenye misikiti hiyo kwa ajili ya Mwenyezi Mungu asubuhi na jioni.