Denk niet dat de ongelovigen op de aarde kunnen vluchten (van de bestraffing). Hun verblijfplaats zal het Vuur zijn - en hun bestemming is zeker slecht!
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Msidhani tena msidhani kwamba wale waliokufuru wanamshinda Mwenyezi Mungu katika ardhi, kwani Yeye ni Muweza wa kuwaangamiza, na marejeo yao, huko Akhera ni Motoni. Na ni mabaya sana marejeo haya na mwisho huu. Maneno haya ni maelekezo kwa ummah wote, ingawa anayeambiwa hapa ni Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.