En op de Dag waarop Hij hen, en dat wat zij naast Allah aanbidden verzamelt, zal Hij zeggen: “Waren jullie het, die Mijn dienaren deden dwalen of zijn zij zelf van het (juiste) Pad afgedwaald?”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na Siku ya Kiyama, Mwenyezi Mungu Atawakusanya washirikina na vile ambavyo walikuwa wakiviabudu badala Yake. Hapo awaambie waabudiwa, «Je, ni nyinyi mliowapoteza njia ya haki waja wangu hawa, au ni wao wenyewe waliopotea njia wakawaabudu nyinyi?»