En (gedenk) de dag waarop de onrechtvaardige op zijn handen zal bijten en zal zeggen: “Oh! Had ik maar het Pad met de Boodschapper genomen!
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na ikumbuke, ewe Mtume, Siku ambayo mwenye kujidhulumu nafsi yake ataiuma mikono yake kwa majuto na unguliko kwa kusema, «Laiti mimi niliandamana na Mtume wa Mwenyezi Mungu Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, na nikamfuata katika kuufanya Uislamu kuwa ni njia ya Peponi,»