En Wij zeiden: “Ga beiden naar het volk dat Onze Tekenen heeft ontkend.” Toen vernietigden Wij hen met een ultieme vernietiging.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
na tukawaambia wao wawili,»Endeni kwa Fir’awn na watu wake waliozikanusha dalili za uola[ wetu na uungu wetu.» Basi wakawaendea na wakawalingania wamuamini Mwenyezi Mungu, wamtii na wasimshirikishe. Wakawakanusha, na kwa hivyo tukawaangamiza maangamivu makubwa.