Degenen die ongelovig zijn zeggen: “Dit is niets anders dan een leugen dat hij bedacht heeft, en anderen hebben hem daarmee geholpen.” Waarlijk, zij kwamen met onrecht en leugens.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu walisema kwamba hii Qur’ani ni urongo tu na ni uzushi uliofanywa na Muhammad na akasaidiwa na watu wengine. Kwa hakika wamefanya udhalimu mbaya sana na wameleta uzushi wenye kuchukiza, kwani Qur’ani haikuwa inamkinika kwa binadamu yoyote kuizua.