En zij aanbidden naast Allah datgene wat hen niet baat en hen niet schaadt, en de ongelovige is altijd een helper (van Sheitan) tegen zijn Heer.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na pamoja na dalili hizi za uweza wa Mwenyezi Mungu na wema Wake kwa viumbe Wake, makafiri wanaabudu, badala ya Mwenyezi Mungu, kitu ambacho hakiwanufaishi wakikiabudu wala hakiwadhuru wakiacha kukiabudu. Na kafiri ni msaidizi wa Shetani juu ya Mola wake, kwa kufanya ushirikina katika ibada ya Mwenyezi Mungu, na ni mwenye kumpa nguvu huyo Shetani juu kumuasi Mwenyezi Mungu.