Zie hoe zij voor jullie een vergelijking verzinnen, zij dwalen en zij kunnen het goede Pad niet vinden.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Tazama, ewe Mtume, namna walivyosema, hawa wakanushaji, juu yako maneno hayo ya ajabu yanayofanana na mifano kwa ugeni wake, ili wafikie kukukanusha, kwa hivyo wakawa mbali na haki, na kwa hivyo hawapati njia ya kuifikia (hiyo haki) ili wayarakibishe maneno waliyoyasema kuhusu wewe, ya urongo na uzushi.