En als Hij wil kan Hij de wind laten liggen, zodat zij (de schepen) bewegingsloos op de oppervlakte (van de zee) zijn. Waarlijk, hierin zijn tekenen voor iedereen die geduldig en dankbaar is.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Anapotaka Mwenyezi Mungu Anautuliza upepo, na majahazi yakawa ni yenye kutulia juu ya mgongo wa bahari na kutotembea. Hakika katika kutembea majahazi haya na kusimama kwake baharini kwa uweza wa Mwenyezi Mungu pana mawaidha na hoja waziwazi za uweza wa Mwenyezi Mungu, kwa kila mwingi wa uvumilivu juu ya kumtii Mwenyezi Mungu, kujiepusha na vitendo vya kumuasi na kukubali makadirio Yake, mwingi wa shukrani wa neema Zake na mema Yake.