De vergelding voor een kwade daad is dezelfde kwade daad, maar ieder die vergeeft en tot verzoening komt: zijn beloning ligt bij Allah. Waarlijk, Hij houdt niet van de onrechtvaardigen..
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na malipo ya ubaya wa mtu mbaya ni kumtesa kwa ubaya mfano wake bila kuzidisha. Na mwenye kumsamehe aliyemfanyia ubaya asimtese, na akatengeneza mapenzi baina yake yeye na yule aliyemsamehe kwa kutaka radhi za Mwenyezi Mungu, basi malipo mema ya kusamehe kwake yako kwa Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu Hawapendi wenye kudhulumu wanaowaanza watu kwa uadui na kuwafanyia ubaya.