En Wij zullen hun harten en hun ogen (van de leiding) wegdraaien, want zij weigerden vanaf het eerste moment daarin te geloven, en Wij zullen hen in hun overtreding blind laten ronddwalen. ۞
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na tutazigeuza nyoyo zao na macho yao, tuweke kizuizi baina yake na kunufaika na alama za Mwenyezi mungu, wasiziamini kama walivyokuwa hawakuziamini aya za Qur’ani zilipoteremka kwa mara ya kwanza, na tutawaacha wao wameduwaa katika kumuasi kwao Mwenyezi Mungu, hawaongoki kwenye haki na usawa.