En het Woord van jullie Heer is in waarheid en rechtvaardigheid vervuld. Niemand kan Zijn woorden veranderen. En Hij is de Alhorende, de Alwetende.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na limekamilika neno la Mola wako, nalo ni Qur’ani, likiwa lina ukweli wa habari na maneno, lenye uadilifu wa hukumu. Hakuna anayeweza kuyabadilisha maneno yake yaliyokamilika. Na Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, Ndiye Mwenye kuyasikia wanayoyasema waja Wake, Ndiye mwenye kuyajua mambo yao yaliyo waziwazi na yaliyojificha