Hij heeft geen deelgenoten. En dit is mij bevolen (te verkondigen) en ik ben de eerste van de Moslims.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
«Asiye na mshirika katika uungu Wake wala katika uola Wake wala katika majina Yake na sifa Zake. Kumpwekesha huko Mwenyezi Mungu kulikosafishika ndiko Alikoniamrisha mimi Mola wangu, Aliyetukuka na kuwa juu. Na mimi ni wa kwanza kumfuata Mwenyezi Mungu kikamilifu katika umma huu.»