En het leven van deze wereld is niets anders dan spel en vermaak. Het huis in het Hiernamaals is beter voor degenen die godvrezend zijn. Willen jullie dat dan niet begrijpen?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Maisha ya kilimwengu hayakuwa, katika wingi wa hali zake, isipokuwa ni udanganyifu na ubatilifu. Na matendo mema, kwa kutengeneza nyumba ya Akhera, ndiyo bora kwa wenye kumcha Mwenyezi Mungu, wakajikinga na adhabu Yake kwa kumtii na kujiepusha na mambo ya kumuasi. Kwani hamuelewi, enyi washirikina mlioghurika na pambo la uhai wa kilimwengu, mukayatanguliza yanayosalia mbele ya yanayomalizika?