Zeg: “Vertel mij als de bestraffing van Allah tot jullie komt, plotseling of openlijk (tijdens de nacht)? Zal er iemand anders vernietigd worden behalve de onrechtvaardigen?”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Sema, ewe Mtume, kuwaambia washirikina hawa, «Nambieni iwapo mateso ya Mwenyezi Mungu yamewashukia ghafla na hali kwamba nyinyi hamuna hisia nayo, au yakawa waziwazi yanaonekana na nyinyi mnayaangalia: Je, kwani kuna wanaoteswa isipokuwa wale watu madhalimu ambao wamekiuka mpaka kwa kuipeleka ibada kwa asiyekuwa Mwenyezi mungu, Aliyetukuka, na kwa kukanusha kwao Mitume Yake?»