Toen hij de zon op zag komen, zei hij: “Dit is mijn Heer. Deze is groter.” Maar toen zij onderging, zei hij: “O, mijn volk! Ik ben waarlijk vrij van alles wat jullie als deelgenoten aan Allah toevoegen.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Alipoliona jua limechomoza, alisema kuwaambia watu wake, «Hili ni mola wangu, hili ni kubwa kuliko nyota na mwezi.» Lilipozama, alisema kuwaambia watu wake, «Mimi nimejiepusha na ushirikina mulionao wa kuabudu mizimu, nyota na masanamu mnayoabudu badala ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka.