En zij zei tegen zijn (Mozes’) zuster: “Volg hem.” Dus keek zij van een verre plaats in het geheim toe, terwijl zij dat niet beseften.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na akasema mamake Mūsā kumwambia nduguye wa kike alipomtupa mtoni, «Fuata athari za Mūsā uone atafanywa nini? Akafuata athari zake na akamuona kwa mbali na hali watu Fir'awn hawajui kwamba yeye ni dadake na kwamba yeye afuatilia habari zake.