Toen werd hij bang in de stad" en was op zijn hoede, toen zie, de man die de vorige dag zijn hulp had gevraagd hem (opnieuw) om hulp vroeg. Mozes zei tegen hem: “Waarlijk, jij bent een duidelijk dwalende!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hivyo basi Mūsā akaingiwa na kicho akiwa kwenye mji wa Fir’awn, anatafuta habari zinazozungumzwa na watu kuhusu yeye na yule mtu aliyemuua, hapo akamuona yule mtu wake wa jana akipigana na Mmisri mwingine na akimtaka amsaidie. Mūsā alimwambia, «Kwa kweli, wewe ni mwingi wa upotofu, ni mpotevu waziwazi.»